0%
Caution: JavaScript execution is disabled in your browser or for this website. You may not be able to answer all questions in this survey. Please, verify your browser parameters.

TOOL1 CMs: UTAFITI WA HAKI ZA BINADAMU 2019

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) ni shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na masuala ya uelewa na ulinzi wa haki za binadamu na utawala bora. Mojawapo ya kazi zake ni kuandaa ripoti ya kila mwaka ya hali ya haki za binadamu nchini. Ukiwa mmojawapo wa vyanzo muhimu vya taarifa, tunakuomba ujaze dodoso hili. Taarifa hizi zitatumika kuandaa Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2019 na si vinginevyo. Tunakushukuru sana kwa ushirikiano wako.

Karibu kwenye utafiti huu kuhusu hali ya haki za binadamu. Taarifa utakazotoa zitatumika katika kuandaa Ripoti ya Haki za Binadamu 2019 na si vinginevyo. Kumbuka kwamba ushiriki wako katika utafiti huu ni wa hiari, hivyo unaweza ukajitoa muda wowote ule. Pia, uko huru kutojibu swali lolote ambalo hauko huru kulijibu, isipokuwa maswali ambayo ni ya lazima, kama vile jinsi yako.
Kuna 26 maswali katika utafiti huu.
Toka na futa tafiti